TANZANIA NCHI YANGU

SMATIKA

SMATIKA

WAFADHILI

Friday, July 15, 2016

BIELA ALEX FROM ISAMILO MWANZA WHO IS DREAMING OF BECOMING AN INTERNATIONAL SUPERSTAR


Kutana na kijana Biela Alex kutoka Mtaa wa Mji Mwema Mkudi, Kata ya Isamilo Jijini Mwanza. Anasema yeye ni staa wa mtaa wao na ndoto yake kubwa kwa sasa ni kuwa staa mkubwa wa muziki na maigizo kimataifa zaidi.

Hadi sasa hajui namna ya kutimiza ndoto yake hiyo. Ni vyema pia ukampa ushauri namna ya kufanya ili awe staa katika sanaa kama ilivyo ndoto yake kubwa.
Bonyeza HAPA Kusikiliza. Au Bonyeza Play Hapa Chini.

No comments:

Post a Comment